Swali: ad-Daaraqutwniy amesema kwamba lau si al-Bukhaariy basi Muslim asingekuja au kuondoka?
Jibu: Kuna ongezaji chumvi (Rahimahu Allaah). Muslim ni imamu mkubwa, lakini kupitia kwa al-Bukhaariy, akafaidika kutoka kwake na akasoma chini yake. Kwa hivyo ad-Daaraqutwniy ameongeza chumvi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25164/معنى-قول-الدارقطني-لولا-البخاري-ما-جاء-مسلم-ولا-راح
- Imechapishwa: 08/02/2025
Swali: ad-Daaraqutwniy amesema kwamba lau si al-Bukhaariy basi Muslim asingekuja au kuondoka?
Jibu: Kuna ongezaji chumvi (Rahimahu Allaah). Muslim ni imamu mkubwa, lakini kupitia kwa al-Bukhaariy, akafaidika kutoka kwake na akasoma chini yake. Kwa hivyo ad-Daaraqutwniy ameongeza chumvi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25164/معنى-قول-الدارقطني-لولا-البخاري-ما-جاء-مسلم-ولا-راح
Imechapishwa: 08/02/2025
https://firqatunnajia.com/muslim-naye-ni-imamu-mkubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)