Swali: Kuwatukana Maswahabah ni ukafiri moja kwa moja au kuna upambanuzi?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba ni ukafiri. Kuwatukana kwa jumla au kuwachukia ni ukafiri. Hakuna anayewachukia isipokuwa kafiri. Wao ndio wabebaji wa Shari´ah.
Swali: Je, kuna tofauti kati ya Maswahabah wakubwa na wadogo?
Jibu: Kinachozingatiwa ni Maswahabah wote au wengi wao. Lakini kuwatukana baadhi yao mmojammoja – kama mfano wa Mu´aawiyah au mwengine – ni ufuska. Akimtukana mmoja katika wao anatakiwa kuaziriwa na kutiwa adabu.
Swali: Vipi akimtukana mmoja katika wale kumi walioahidiwa Pepo?
Jibu: Akimtukana ni ufuska. Anastahiki kutiwa adabu.
Swali: Lakini hawa wameshuhudiwa Pepo?
Jibu: Pengine kuna sababu zilizompelekea kutukana. Lakini hakuwatukana wote au wengi wao isipokuwa ni kwa sababu yuko na shaka katika dini yake na anaichukia dini.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23172/حكم-من-سب-الصحابة
- Imechapishwa: 18/11/2023
Swali: Kuwatukana Maswahabah ni ukafiri moja kwa moja au kuna upambanuzi?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba ni ukafiri. Kuwatukana kwa jumla au kuwachukia ni ukafiri. Hakuna anayewachukia isipokuwa kafiri. Wao ndio wabebaji wa Shari´ah.
Swali: Je, kuna tofauti kati ya Maswahabah wakubwa na wadogo?
Jibu: Kinachozingatiwa ni Maswahabah wote au wengi wao. Lakini kuwatukana baadhi yao mmojammoja – kama mfano wa Mu´aawiyah au mwengine – ni ufuska. Akimtukana mmoja katika wao anatakiwa kuaziriwa na kutiwa adabu.
Swali: Vipi akimtukana mmoja katika wale kumi walioahidiwa Pepo?
Jibu: Akimtukana ni ufuska. Anastahiki kutiwa adabu.
Swali: Lakini hawa wameshuhudiwa Pepo?
Jibu: Pengine kuna sababu zilizompelekea kutukana. Lakini hakuwatukana wote au wengi wao isipokuwa ni kwa sababu yuko na shaka katika dini yake na anaichukia dini.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23172/حكم-من-سب-الصحابة
Imechapishwa: 18/11/2023
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-akijibu-baadhi-ya-maswali-kuhusu-kuwatukana-maswahabah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)