Swali: Unasemaje juu ya utata unaosema kwamba Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab alifanya uasi kwa dola ya ´Uthmaaniyyah?
Jibu: Nchi ya Najd ambapo Shaykh alikuwa anaishi haikuwa chini waturuki na chini ya dola ya ´Uthmaaniyyah. Uongozi wake ulikuwa kwenye mikono ya watu wake. Dola haikuwa na mfalme.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Unasemaje juu ya utata unaosema kwamba Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab alifanya uasi kwa dola ya ´Uthmaaniyyah?
Jibu: Nchi ya Najd ambapo Shaykh alikuwa anaishi haikuwa chini waturuki na chini ya dola ya ´Uthmaaniyyah. Uongozi wake ulikuwa kwenye mikono ya watu wake. Dola haikuwa na mfalme.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-abdil-wahhaab-alifanya-uasi-dhidi-ya-mtawala/