Swali: Mke wangu ni mzito wa swalah. Humnasihi na kila siku humkumbusha na kumkemea, lakini hata hivyo wakati mwingine anakuwa mzito. Nitangamane naye vipi?
Jibu: Endelea kumlazimisha swalah. Usimchukulie wepesi. Aendelea pamoja naye na uwe ni mwenye subira. Usimfanyie wepesi hata siku moja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Mke wangu ni mzito wa swalah. Humnasihi na kila siku humkumbusha na kumkemea, lakini hata hivyo wakati mwingine anakuwa mzito. Nitangamane naye vipi?
Jibu: Endelea kumlazimisha swalah. Usimchukulie wepesi. Aendelea pamoja naye na uwe ni mwenye subira. Usimfanyie wepesi hata siku moja.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14763
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/msimamo-kwa-mke-ambaye-ni-mvivu-wa-swalah/