Swali: Je, mtu anapata ujira wa kumfadhili yatima ikiwa mtu huyo analazimika kumhudumia?
Jibu: Yatima ni yule ambaye amemkosa baba yake akiwa bado ni mtoto. Huyu ndiye yatima. Yanatakiwa yatimie masharti mawili:
1 – Amemkosa baba yake.
2 – Awe bado hajabaleghe.
Huyu ndiye anaitwa yatima. Mtoto huyu anatakiwa kutendewa wema akiwa ni fakiri. Akiwa sio fakiri basi hawahitajii watu na anachokuwa anahitajia ni yale malezi kwa mujibu wa dini peke yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21629/هل-يحصل-اجر-كفالة-اليتيم-لمن-تجب-نفقتهم
- Imechapishwa: 30/08/2022
Swali: Je, mtu anapata ujira wa kumfadhili yatima ikiwa mtu huyo analazimika kumhudumia?
Jibu: Yatima ni yule ambaye amemkosa baba yake akiwa bado ni mtoto. Huyu ndiye yatima. Yanatakiwa yatimie masharti mawili:
1 – Amemkosa baba yake.
2 – Awe bado hajabaleghe.
Huyu ndiye anaitwa yatima. Mtoto huyu anatakiwa kutendewa wema akiwa ni fakiri. Akiwa sio fakiri basi hawahitajii watu na anachokuwa anahitajia ni yale malezi kwa mujibu wa dini peke yake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21629/هل-يحصل-اجر-كفالة-اليتيم-لمن-تجب-نفقتهم
Imechapishwa: 30/08/2022
https://firqatunnajia.com/huyu-ndiye-yatima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)