Swali: Tumesoma kuwa Nuuh (´alayhis-Salaam) aliwalingania watu wake katika Tawhiyd miaka mia tisa na khamsini. Tuko na watu wanaosema “msitilie mkazo hivo kwenye Tawhiyd na msiutenganishe umoja wa waislamu, asli kwa Waislamu wako na Tawhiyd”. Vipi mtu atajibia utata huu?
Jibu: Huyu anaenda kinyume na Da´wah ya Mitume (´alayhimus-Swalaatu was-Salaam). Mitume walilingania katika Tawhiyd, wakaihimiza na ndio waliyoanza nayo. Upande mwingine huyu anapuuzia kulingania katika Tawhiyd. Huu ndio mfumo wa Hizbiyyuun ambao wanatilia mkazo [kukusanya] makundi na vyama vyao. Hawatilii mkazo Tawhiyd wala ´Aqiydah. Huu ni mfumo wa kipotevu. Ni mfumo unaenda kinyume na mfumo wa Mitume (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam), wanachuoni na Salaf-us-Swaalih. Apuuzwe na akemewe.
Watu wana haja ya kusoma na kusomeshwa Tawhiyd. Kwa kuwa kosa hutokea na ujinga vilevile upo. Tawhiyd ikiachwa Bid´ah, mambo ya shirki na ukhurafi yatawapata watu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-30.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Tumesoma kuwa Nuuh (´alayhis-Salaam) aliwalingania watu wake katika Tawhiyd miaka mia tisa na khamsini. Tuko na watu wanaosema “msitilie mkazo hivo kwenye Tawhiyd na msiutenganishe umoja wa waislamu, asli kwa Waislamu wako na Tawhiyd”. Vipi mtu atajibia utata huu?
Jibu: Huyu anaenda kinyume na Da´wah ya Mitume (´alayhimus-Swalaatu was-Salaam). Mitume walilingania katika Tawhiyd, wakaihimiza na ndio waliyoanza nayo. Upande mwingine huyu anapuuzia kulingania katika Tawhiyd. Huu ndio mfumo wa Hizbiyyuun ambao wanatilia mkazo [kukusanya] makundi na vyama vyao. Hawatilii mkazo Tawhiyd wala ´Aqiydah. Huu ni mfumo wa kipotevu. Ni mfumo unaenda kinyume na mfumo wa Mitume (Swalla Allaahu ´alayhim wa sallam), wanachuoni na Salaf-us-Swaalih. Apuuzwe na akemewe.
Watu wana haja ya kusoma na kusomeshwa Tawhiyd. Kwa kuwa kosa hutokea na ujinga vilevile upo. Tawhiyd ikiachwa Bid´ah, mambo ya shirki na ukhurafi yatawapata watu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-10-30.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/huu-ndio-mfumo-wa-hizbiyyuun/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)