Nilimuuza Ahmad kuhusu mtu ambaye anafanya uzinzi na mwanamke na kisha baada ya hapo akamuoa. Akasema:
“Inajuzu ikiwa huyo mwanamke ametubia.”
Ibn ‘Umar aliulizwa kuhusu mtu ambaye anafanya uzinzi na mwanamke na kisha baadae akamuoa. Akajibu:
“Huanza kwa uzinzi na kuishia kwa kufanya ndoa.”
Sa´iyd bin al-Musayyab aliulizwa kuhusu mtu ambaye amefanya uzinzi na mwanamke. Je, inajuzu kwake [huyo mwanaume] kumuoa? Akajibu:
“Hatujui kuwa wanaweza kutubia katika njia nzuri na kutenda kitendo kizuri isipokuwa kwa njia hii.”
- Mhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Karmaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa’il-ul-Imaam Ahmad wa Ishaaq bin Rahuuyah, uk. 57
- Imechapishwa: 22/09/2020
Nilimuuza Ahmad kuhusu mtu ambaye anafanya uzinzi na mwanamke na kisha baada ya hapo akamuoa. Akasema:
“Inajuzu ikiwa huyo mwanamke ametubia.”
Ibn ‘Umar aliulizwa kuhusu mtu ambaye anafanya uzinzi na mwanamke na kisha baadae akamuoa. Akajibu:
“Huanza kwa uzinzi na kuishia kwa kufanya ndoa.”
Sa´iyd bin al-Musayyab aliulizwa kuhusu mtu ambaye amefanya uzinzi na mwanamke. Je, inajuzu kwake [huyo mwanaume] kumuoa? Akajibu:
“Hatujui kuwa wanaweza kutubia katika njia nzuri na kutenda kitendo kizuri isipokuwa kwa njia hii.”
Mhusika: Imaam Harb bin Ismaa´iyl al-Karmaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa’il-ul-Imaam Ahmad wa Ishaaq bin Rahuuyah, uk. 57
Imechapishwa: 22/09/2020
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kuzini-na-mwanamke-kisha-mwanaume-huyo-akamuoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)