Swali: Je, kutupa Qur-aan ni kufuru au itatokana na nia ya alofanya hivo?
Jibu: Ikiwa Qur-aan imemponyoka hana juu yake kitu. Lakini akiitupa kwa ajili ya kuudhalilisha, kitendo hichi kinazingatiwa kuwa ni kuritadi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Imechapishwa: 11/04/2015
Swali: Je, kutupa Qur-aan ni kufuru au itatokana na nia ya alofanya hivo?
Jibu: Ikiwa Qur-aan imemponyoka hana juu yake kitu. Lakini akiitupa kwa ajili ya kuudhalilisha, kitendo hichi kinazingatiwa kuwa ni kuritadi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Imechapishwa: 11/04/2015
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kutupa-qur-aan/