Swali: Baadhi ya watu wamezowea katika msikiti Mtakatifu wa Makkah anapoadhini muadhini adhaana ya pili basi utaona watu wengi wanasimama kuswali Rak´ah mbili.
Jibu: Hapana, ni kwenda kinyume na Sunnah. Sunnah ni kuketi chini na kunyamaza. Hali hii haihusiani na kuswali baina ya kila adhaana na Iqaamah.
Swali: Vipi ikiwa ni wakati wa ile adhaana ya kwanza?
Jibu: Haina msingi. Adhaana ya kwanza ni kwa ajili tu ya kuzindua. Baada ya adhaana ya kwanza hakuna swalah. Bora ni kuacha kufanya hivo. Hukumu hiyohiyo inahusiana na baada ya adhaana ya kwanza. Wanatakiwa wajiandae kunyamaza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23810/حكم-صلاة-ركعتين-بعد-الاذان-الثاني-للجمعة
- Imechapishwa: 14/05/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)