Swali: Mwenye kukaa I´tikaaf kutoka msikitini kwa ajili ya kumtembelea baba au mama yake ikiwa ni mgonjwa?
Jibu: Jambo ni lenye wasaa. Ametoka kwa haja. Hii ni miongoni mwa haja. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akitoka kwa sababu ya haja.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23816/حكم-خروج-المعتكف-لزيارة-والده-المريض
- Imechapishwa: 14/05/2024
Swali: Mwenye kukaa I´tikaaf kutoka msikitini kwa ajili ya kumtembelea baba au mama yake ikiwa ni mgonjwa?
Jibu: Jambo ni lenye wasaa. Ametoka kwa haja. Hii ni miongoni mwa haja. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akitoka kwa sababu ya haja.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23816/حكم-خروج-المعتكف-لزيارة-والده-المريض
Imechapishwa: 14/05/2024
https://firqatunnajia.com/mwenye-kukaa-itikaaf-kutoka-msikitini-kwenda-kumtembelea-mzazi/