Swali: Kukariri du´aa katika Swafa na Marwa ni kwa njia ya mapendekezo [Istihbaab] au njia ya uwajibu?
Jibu: Mapendekezo. Adhkaar na du´aa zote katika Twawaaf na Say´ ni kwa njia ya mapendekezo na sio wajibu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-04-06.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Swali: Kukariri du´aa katika Swafa na Marwa ni kwa njia ya mapendekezo [Istihbaab] au njia ya uwajibu?
Jibu: Mapendekezo. Adhkaar na du´aa zote katika Twawaaf na Say´ ni kwa njia ya mapendekezo na sio wajibu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (21) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-04-06.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-duaa-zinazoombwa-katika-swafa-na-marwa/