Swali: Sisi ni wanafunzi zako wa kifaransa. Kama unavojua Ufaransa sasa inataka kupiga kura. Je, inafaa kwetu kumpigia kura mgombea ambaye tunaona shari zake ni chache zaidi kwa waislamu?
Jibu: Sijui. Sina jibu juu ya swali hili. Kitendo tu cha waislamu kuishi katika nchi za makafiri na chini ya hukumu za kikafiri hilo ni tatizo; wanaacha kuhajiri na wanahukumiwa kwa hukumu za makafiri. Ni jambo zito.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?app=desktop&v=groQ1O1XXWA
- Imechapishwa: 18/08/2022
Swali: Sisi ni wanafunzi zako wa kifaransa. Kama unavojua Ufaransa sasa inataka kupiga kura. Je, inafaa kwetu kumpigia kura mgombea ambaye tunaona shari zake ni chache zaidi kwa waislamu?
Jibu: Sijui. Sina jibu juu ya swali hili. Kitendo tu cha waislamu kuishi katika nchi za makafiri na chini ya hukumu za kikafiri hilo ni tatizo; wanaacha kuhajiri na wanahukumiwa kwa hukumu za makafiri. Ni jambo zito.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?app=desktop&v=groQ1O1XXWA
Imechapishwa: 18/08/2022
https://firqatunnajia.com/hilo-lenyewe-ni-tatizo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)