Swali: Nataka kusimama usiku kuswali lakini nachelea kupitiwa na usingizi na kushindwa kuamka. Kwa ajili hiyo, silale isipokuwa baada ya kuswali ambapo huswali swalah ya usiku moja kwa moja baada ya ´Ishaa. Nina muda mrefu nafanya hivo. Je, swalah hiyo inazingatiwa ni kama kisimamo cha usiku?
Jibu: Ndio, hiyo ni katika kisimamo cha usiku na himdi zote anastahiki Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/9500/هل-الصلاة-بعد-العشاء-مباشرة-من-قيام-الليل
- Imechapishwa: 05/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
