Swali: Kuna mtu ulaya amehifadhi kiwango fulani cha pesa kwa ajili ya kuhiji. Je, atumie pesa hiyo kwa ajili ya kuhiji au atafuta elimu kwanza?
Jibu: Kuhiji hatokukosesha kutafuta elimu. Anza kuhiji na baada ya hapo jifunze elimu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (27)
- Imechapishwa: 23/04/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)