Swali: Kumuasi Allaah pindi mtu anapokuwa peke yake inahesabika ni aina ya unafiki?
Jibu: Inahesabika ni kuwa na imani dhaifu. Vilevile ni aina moja wapo ya unafiki. Hili halina shaka. Lakini ni unafiki unaohusiana na matendo na sio unafiki unaohusiana na I´tiqaad.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (06) http://alfawzan.af.org.sa/node/2049
- Imechapishwa: 11/12/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)