Suufiyyah wanaonelea kuwa makusudio ni Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah. Mtu akihakikisha Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah, bi maana mtu akishuhudia ya kwamba hakuna anayeendesha mambo, anayeumba na kuruzuku isipokuwa Allaah, basi huyu ndio Muislamu kwa mujibu wao hata kama hakumuabudu Allaah, hakuswali na kutoa zakaah. Haya ndio madhehebu yao batili na tunaomba kinga kwa Allaah. Wanaonelea vilevile kuwa hakuna neno akafanya machafu kwa kuhalalisha mambo ya haramu kwa kuwa wanaonelea kuwa anakubali Tawhiyd, nayo ni kuthibitisha kuwepo kwa Mola.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ektda–1430-4-22.mp3
- Imechapishwa: 05/05/2015
Suufiyyah wanaonelea kuwa makusudio ni Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah. Mtu akihakikisha Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah, bi maana mtu akishuhudia ya kwamba hakuna anayeendesha mambo, anayeumba na kuruzuku isipokuwa Allaah, basi huyu ndio Muislamu kwa mujibu wao hata kama hakumuabudu Allaah, hakuswali na kutoa zakaah. Haya ndio madhehebu yao batili na tunaomba kinga kwa Allaah. Wanaonelea vilevile kuwa hakuna neno akafanya machafu kwa kuhalalisha mambo ya haramu kwa kuwa wanaonelea kuwa anakubali Tawhiyd, nayo ni kuthibitisha kuwepo kwa Mola.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ektda–1430-4-22.mp3
Imechapishwa: 05/05/2015
https://firqatunnajia.com/hii-ndio-tawhiyd-ya-suufiyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)