Qur-aan, Tawrat, Injiyl, Zabuur, Suhuf ya Ibraahiym na Muusa (´alayhimaas-Swalaatu was-Salaam) ni katika elimu ya Allaah. Vilevile vitabu vyote ambavyo Allaah ameteremsha kwa Mitume Wake, sawa vile ambavyo vimetufikia na ambavyo havikutufikia, vyote hivo ni katika maneno ya Allaah (Tabaarak wa Ta´ala). Qur-aan ni katika elimu ya Allaah (´Azza wa Jall). Elimu ya Allaah haiwezi kuwa imeumbwa. Hii ni katika hoja ambayo imewaponda Jahmiyyah. Kwa kuwa Imaam Ahmad – kama itavyokuja huko mbeleni – aliwauliza “Je, elimu ya Allaah imeumbwa?” Wakasema “Hapana”. Hivyo akasema “Basi Qur-aan ni elimu ya Allaah”. Akatumia ushahidi wa Aayah:
وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ
“Na ukifuata matamanio yao baada ya yale ambayo yaliyokujia katika elimu.“ (02:120)
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaasid Kitaab-ish-Sharï´ah (1/342)
- Imechapishwa: 19/05/2015
Qur-aan, Tawrat, Injiyl, Zabuur, Suhuf ya Ibraahiym na Muusa (´alayhimaas-Swalaatu was-Salaam) ni katika elimu ya Allaah. Vilevile vitabu vyote ambavyo Allaah ameteremsha kwa Mitume Wake, sawa vile ambavyo vimetufikia na ambavyo havikutufikia, vyote hivo ni katika maneno ya Allaah (Tabaarak wa Ta´ala). Qur-aan ni katika elimu ya Allaah (´Azza wa Jall). Elimu ya Allaah haiwezi kuwa imeumbwa. Hii ni katika hoja ambayo imewaponda Jahmiyyah. Kwa kuwa Imaam Ahmad – kama itavyokuja huko mbeleni – aliwauliza “Je, elimu ya Allaah imeumbwa?” Wakasema “Hapana”. Hivyo akasema “Basi Qur-aan ni elimu ya Allaah”. Akatumia ushahidi wa Aayah:
وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُم بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ
“Na ukifuata matamanio yao baada ya yale ambayo yaliyokujia katika elimu.“ (02:120)
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaasid Kitaab-ish-Sharï´ah (1/342)
Imechapishwa: 19/05/2015
https://firqatunnajia.com/hii-ndio-sababu-qur-aan-haiwezi-kuwa-imeumbwa-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)