Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika sisi Mitume haturithiwi. Hatukuacha mirathi.” Ahmad (02/463)
Hii ni hekima ya Allaah (´Azza wa Jall). Kwa sababu lau wangelikuwa wanarithiwa angelisema mwenye kusema kwa vile watu hawa ndio wamekuja na ujumbe basi tunatafuta wafalme wenye kuwarithi baada yao. Allaah (´Azza wa Jall) akakataza hilo. Mitume hawarithiwi. Wanavoviacha inakuwa swadaqah. Wanapewa wale wenye kuiistahiki.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/205)
- Imechapishwa: 19/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)