Swali: Nilikuwa namiliki mbuzi. Baada ya miaka minane wakafikia kile kiwango ambacho ni cha lazima (النصاب). Nitawatolea zakaah wakati gani?
Jibu: Baada ya kufikiwa na kile kiwango cha lazima[1].
[1] Imaam Ibn Qudaamah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Wataanza kutolewa zakaah pale wanapokuwa arobaini. Katika hali hiyo watatolewa mbuzi jike mmoja mpaka pale watapofikia mbuzi mia na ishirini.” (´Umdat-ul-Fiqh (1/180))
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Imechapishwa: 28/04/2021
Swali: Nilikuwa namiliki mbuzi. Baada ya miaka minane wakafikia kile kiwango ambacho ni cha lazima (النصاب). Nitawatolea zakaah wakati gani?
Jibu: Baada ya kufikiwa na kile kiwango cha lazima[1].
[1] Imaam Ibn Qudaamah (Rahimahu Allaah) amesema:
“Wataanza kutolewa zakaah pale wanapokuwa arobaini. Katika hali hiyo watatolewa mbuzi jike mmoja mpaka pale watapofikia mbuzi mia na ishirini.” (´Umdat-ul-Fiqh (1/180))
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Imechapishwa: 28/04/2021
https://firqatunnajia.com/hesabu-ya-ni-lini-mbuzi-na-kondoo-wanaanza-kutolewa-zakaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)