Swali: Baadhi ya watu wanapopatwa na jambo basi husema:
لا حول
“Hapana uwezo wa kutikisika.”
na wala hawakamilishi kwa kusema:
لا حول ولا قوة إلا بالله
“Hapana uwezo wa kutikisika wala nguvu isipokuwa kwa msaada wa Allaah.”?
Jibu: Hapana, wakamilishe kwa kusema:
لا حول ولا قوة إلا بالله
“Hapana uwezo wa kutikisika wala nguvu isipokuwa kwa msaada wa Allaah.”
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumwambia Abu Muusa:
“Je, nisikujuze hazina miongoni mwa hazina za Pepo?
لا حول ولا قوة إلا بالله
“Hapana uwezo wa kutikisika wala nguvu isipokuwa kwa msaada wa Allaah.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23697/حكم-قول-لا-حول-فقط-دون-بقيتها
- Imechapishwa: 06/04/2024
Swali: Baadhi ya watu wanapopatwa na jambo basi husema:
لا حول
“Hapana uwezo wa kutikisika.”
na wala hawakamilishi kwa kusema:
لا حول ولا قوة إلا بالله
“Hapana uwezo wa kutikisika wala nguvu isipokuwa kwa msaada wa Allaah.”?
Jibu: Hapana, wakamilishe kwa kusema:
لا حول ولا قوة إلا بالله
“Hapana uwezo wa kutikisika wala nguvu isipokuwa kwa msaada wa Allaah.”
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumwambia Abu Muusa:
“Je, nisikujuze hazina miongoni mwa hazina za Pepo?
لا حول ولا قوة إلا بالله
“Hapana uwezo wa kutikisika wala nguvu isipokuwa kwa msaada wa Allaah.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23697/حكم-قول-لا-حول-فقط-دون-بقيتها
Imechapishwa: 06/04/2024
https://firqatunnajia.com/hazina-ya-pepo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)