Swali: Vipi kumsafirisha maiti kutoka mji moja kwenda mji mwingine?
Jibu: Bora mtu asifanye hivo. Maswahabah hawakuwa wakisafirisha. Anayekufa wanamzika mahali hapo. Muda wa kuwa kuna makaburi ya waislamu himdi zote njema anastahiki Allaah.
Swali: Hata kama aliacha wasia?
Jibu: Hata kama ameusia. Wasijikakame. Miongoni mwa Maswahabah kuna waliokufa Makkah, waliokufa Madiynah, kuna waliokufa Khaybar, kuna waliokufa Shaam, kuna waliokufa Yemen. Hawakuwa wakiwasafirisha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23180/حكم-نقل-الجنازة-من-بلد-الى-بلد
- Imechapishwa: 21/11/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)