Swali: Vipi kumsafirisha maiti kutoka mji moja kwenda mji mwingine?
Jibu: Bora mtu asifanye hivo. Maswahabah hawakuwa wakisafirisha. Anayekufa wanamzika mahali hapo. Muda wa kuwa kuna makaburi ya waislamu himdi zote njema anastahiki Allaah.
Swali: Hata kama aliacha wasia?
Jibu: Hata kama ameusia. Wasijikakame. Miongoni mwa Maswahabah kuna waliokufa Makkah, waliokufa Madiynah, kuna waliokufa Khaybar, kuna waliokufa Shaam, kuna waliokufa Yemen. Hawakuwa wakiwasafirisha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23180/حكم-نقل-الجنازة-من-بلد-الى-بلد
- Imechapishwa: 21/11/2023
Swali: Vipi kumsafirisha maiti kutoka mji moja kwenda mji mwingine?
Jibu: Bora mtu asifanye hivo. Maswahabah hawakuwa wakisafirisha. Anayekufa wanamzika mahali hapo. Muda wa kuwa kuna makaburi ya waislamu himdi zote njema anastahiki Allaah.
Swali: Hata kama aliacha wasia?
Jibu: Hata kama ameusia. Wasijikakame. Miongoni mwa Maswahabah kuna waliokufa Makkah, waliokufa Madiynah, kuna waliokufa Khaybar, kuna waliokufa Shaam, kuna waliokufa Yemen. Hawakuwa wakiwasafirisha.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23180/حكم-نقل-الجنازة-من-بلد-الى-بلد
Imechapishwa: 21/11/2023
https://firqatunnajia.com/hawakuwa-wakimsafirisha-maiti/