Swali: Baadhi ya watu wanasema kuwa asiyeswali au anaswali baadhi ya nyakati tu au anaacha kuswali baadhi ya nyakati tu kwamba sio kafiri hata hivyo ni mtenda dhambi.
Jibu: Haya ni maoni ya baadhi ya wanazuoni. Maoni ya sawa ni kwamba anakufuru kwa jambo hilo kutokana na Hadiyth zilizotajwa. Tunamuomba Allaah usalama.
Swali: Vipi kwa wanaosema kuwa hakufuru kwa sababu wanatamka shahaadah?
Jibu: Waraddiwa kwa kuambiwa kwamba anayetamka shahaadah ni lazima aitekelezee haki yake. Miongoni mwa haki zake ni kuchunga vipindi vitano vya swalah ndani ya nyakati zake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22510/حكم-من-لا-يصلي-ومن-يتركها-احيانا
- Imechapishwa: 30/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)