Swali: Mtu huyu kutoka Ufaransa anasema kuwa umetaja namna ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitangamana na wale wenye kumchezea shere Makkah. Ni vipi tutaoanisha kati ya kujitenga mbali na makafiri na kuwapendelea waongoke na kutowadhulumu?
Jibu: Hakuna mgongano wowote mpaka useme kuwa tuoanishe kitu. Sisi hatuwapendi washirikina wala mafiri. Lakini licha ya hivo hatuwadhulumu pasi na haki. Jengine ni kwamba hatulipizi kisasi ikiwa kulipiza kisasi kunapelekea katika madhara makubwa zaidi. Mambo yanatakiwa kutatuliwa kwa uangalifu na hekima.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2735
- Imechapishwa: 28/08/2020
Swali: Mtu huyu kutoka Ufaransa anasema kuwa umetaja namna ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitangamana na wale wenye kumchezea shere Makkah. Ni vipi tutaoanisha kati ya kujitenga mbali na makafiri na kuwapendelea waongoke na kutowadhulumu?
Jibu: Hakuna mgongano wowote mpaka useme kuwa tuoanishe kitu. Sisi hatuwapendi washirikina wala mafiri. Lakini licha ya hivo hatuwadhulumu pasi na haki. Jengine ni kwamba hatulipizi kisasi ikiwa kulipiza kisasi kunapelekea katika madhara makubwa zaidi. Mambo yanatakiwa kutatuliwa kwa uangalifu na hekima.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2735
Imechapishwa: 28/08/2020
https://firqatunnajia.com/hatuwapendi-wala-hatuwadhulumu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)