Swali: Mtu anakufuru akionelea kuwa dhambi fulani ni halali? Je, madhambi yanatofautiana inapokuja katika kuonelea kuwa ni halali?
Jibu: Inahusiana na kuhalalisha dhambi ambayo kuna maafikiano juu yake kuwa ni haramu. Zingatieni! Yule mwenye kuoenelea dhambi ambayo kuna makubaliano juu yake kuwa ni haramu anakufuru. Hata hivyo hakufurishwi yule mwenye kuonelea kwua dhambi fulani ni halali ambayo hakuna maafikiano juu yake. Pamoja na hivyo anazingatiwa kuwa amekosea. Akumbushwe na kuzinduliwa kuwa kauli hii ni kosa na dalili inasema kinyume chake. Abainishiwe hili. Lakini asikufurishwe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Mtu anakufuru akionelea kuwa dhambi fulani ni halali? Je, madhambi yanatofautiana inapokuja katika kuonelea kuwa ni halali?
Jibu: Inahusiana na kuhalalisha dhambi ambayo kuna maafikiano juu yake kuwa ni haramu. Zingatieni! Yule mwenye kuoenelea dhambi ambayo kuna makubaliano juu yake kuwa ni haramu anakufuru. Hata hivyo hakufurishwi yule mwenye kuonelea kwua dhambi fulani ni halali ambayo hakuna maafikiano juu yake. Pamoja na hivyo anazingatiwa kuwa amekosea. Akumbushwe na kuzinduliwa kuwa kauli hii ni kosa na dalili inasema kinyume chake. Abainishiwe hili. Lakini asikufurishwe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-uhalalishaji-inakuwa-kufuru/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)