Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“… itachukuliwa kutoka kwa matajiri wao na kupewa masikini wao.”
Hapa si inafahamisha kuwa haitakiwi kutolewa nje ya nchi hiyo?
Jibu: Wanakusudiwa mafukara wote. Hata hivyo bora zaidi ni watu wa mji huohuo. Mafukara wake ndio aula zaidi wakihitaji. Kama Allaah amewatajirisha basi itahamishwa kwenda miji mingine. Lakini watu wa maji huohuo ndio wana haki zaidi ya kupewa zakaah hiyo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22768/ما-حكم-اخراج-الزكاة-الى-بلد-اخر
- Imechapishwa: 19/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)