Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya ambaye ameswali kati ya nguzo pasi na dharurah hali ya kutojua au kwa kujua?
Jibu: Inachukiza kuswali kati nguzo zinapokatika safu kukiwa hakuna haja. Ikiwa kuna haja, kama ufinyo wa msikiti, basi yanaondoka machukizo. Vivyo hivyo yanaondoka machukizo ikiwa hakupelekei kukatika kwa safu.
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (06/330) nr. (20977)
- Imechapishwa: 13/05/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya ambaye ameswali kati ya nguzo pasi na dharurah hali ya kutojua au kwa kujua?
Jibu: Inachukiza kuswali kati nguzo zinapokatika safu kukiwa hakuna haja. Ikiwa kuna haja, kama ufinyo wa msikiti, basi yanaondoka machukizo. Vivyo hivyo yanaondoka machukizo ikiwa hakupelekei kukatika kwa safu.
´Abdul-´Aziyz Aalus-Shaykh
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (06/330) nr. (20977)
Imechapishwa: 13/05/2022
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-inachukiza-kuswali-kati-ya-nguzo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket