Swali: Je, jihaad inaweza kuwa faradhi kwa watu wote kama mfano wa swawm kama alivosema Allaah (Ta´ala):
وَمَا كَانَ الْمُؤْمِنُونَ لِيَنفِرُوا كَافَّةً ۚ فَلَوْلَا نَفَرَ مِن كُلِّ فِرْقَةٍ مِّنْهُمْ طَائِفَةٌ لِّيَتَفَقَّهُوا فِي الدِّينِ وَلِيُنذِرُوا قَوْمَهُمْ إِذَا رَجَعُوا إِلَيْهِمْ لَعَلَّهُمْ يَحْذَرُونَ
“Na haiwapasi waumini watoke wote pamoja kwenda [kupigana vita vya jihaad]. Basi kwanini lisitoke katika kila kundi miongoni mwao, kundi [moja] wajifunze dini na ili waonye watu wao watakaporejea kwao ili wapate kutahadhari.”[1]?
Jibu: Ni faradhi kwa baadhi ya watu.
Swali: Je, jihaad inaweza kuwa faradhi kwa watu wote kama vile swalah na swawm?
Jibu: Wanazuoni wamesema pindi mtu anapokuwa kati ya safu mbili, akateuliwa na kiongozi au wakavamiwa na adui, katika hali hizo jihaad inakuwa faradhi kwa watu wote.
[1] 09:122
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22880/متى-يكون-الجهاد-فرض-عين-او-فرض-كفاية
- Imechapishwa: 09/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
