Swali: Je, anatekelezewa adhabu ambaye ni muhitaji na fakiri na hivyo akalazimika kuiba ili aweze kula yeye na watoto wake?
Jibu: Akihitaji chakula na kama hali atakufa, basi atachukua mali ya wengine kwa kile kiwango kitachombakizia uhai wake, kwa sababu hiyo ni dharurah. Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
وَقَدْ فَصَّلَ لَكُم مَّا حَرَّمَ عَلَيْكُمْ إِلَّا مَا اضْطُرِرْتُمْ إِلَيْهِ
”… na ilihali ameshapambanua kwenu yale Aliyokuharamishieni isipokuwa vile mlivyofikwa na dharura.”[1]
Lakini baadaye amlipe kiwango hicho mwenye mali yake.
[1] 06:119
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
- Imechapishwa: 14/09/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)