Swali: Je, anatekelezewa adhabu ambaye ni muhitaji na fakiri na hivyo akalazimika kuiba ili aweze kula yeye na watoto wake?
Jibu: Akihitaji chakula na kama hali atakufa, basi atachukua mali ya wengine kwa kile kiwango kitachombakizia uhai wake, kwa sababu hiyo ni dharurah. Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
وَقَدْ فَصَّلَ لَكُم مَّا حَرَّمَ عَلَيْكُمْ إِلَّا مَا اضْطُرِرْتُمْ إِلَيْهِ
”… na ilihali ameshapambanua kwenu yale Aliyokuharamishieni isipokuwa vile mlivyofikwa na dharura.”[1]
Lakini baadaye amlipe kiwango hicho mwenye mali yake.
[1] 06:119
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
- Imechapishwa: 14/09/2024
Swali: Je, anatekelezewa adhabu ambaye ni muhitaji na fakiri na hivyo akalazimika kuiba ili aweze kula yeye na watoto wake?
Jibu: Akihitaji chakula na kama hali atakufa, basi atachukua mali ya wengine kwa kile kiwango kitachombakizia uhai wake, kwa sababu hiyo ni dharurah. Allaah (´Azza wa Jall) amesema:
وَقَدْ فَصَّلَ لَكُم مَّا حَرَّمَ عَلَيْكُمْ إِلَّا مَا اضْطُرِرْتُمْ إِلَيْهِ
”… na ilihali ameshapambanua kwenu yale Aliyokuharamishieni isipokuwa vile mlivyofikwa na dharura.”[1]
Lakini baadaye amlipe kiwango hicho mwenye mali yake.
[1] 06:119
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
Imechapishwa: 14/09/2024
https://firqatunnajia.com/hapa-itafaa-kuchukua-pesa-ya-wengine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
