Swali: Wako wanazuoni wanaosema bora hii leo msafiri aswali Sunnah za Rawaatib. Ni yepi maoni yako?
Jibu: Hakuna yeyote ana haki ya kutia neno pamoja na Sunnah, ee mwanangu. Nasema kwamba hakuna yeyote ana haki ya kutia neno pamoja na Sunnah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuwa akiziswali safarini. Unapokuja mto wa Allaah basi mto wa akili unabatilika:
وَمَا آتَاكُمُ الرَّسُولُ فَخُذُوهُ وَمَا نَهَاكُمْ عَنْهُ فَانتَهُوا
”Kile alichokupeni Mtume basi kichukueni na kile alichokukatazeni basi kiacheni.”[1]
[1] 59:07
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23199/هل-تودى-السنن-الراتبة-في-السفر
- Imechapishwa: 25/11/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)