Swali: Kuna mtu yuko na jini linamuhudumia na anawatibu watu. Wanawake wanapomwendea anawaelekeza katika habasoda, asali na dawa nyingine za kiarabu na kiislamu. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haina neno ikiwa anawaeleza watu kuwa hajui ghaibu, hanufaishi na wala hadhuru badala ya Allaah. Katika hali hiyo ni mkweli katika anayoyasema. Lakini ikiwa anaogopa pindi anapojiliwa na wanaolingania kwa Allaah na anajidai kuwa anatibu kwa asali, habasoda n.k. ilihali ukweli wa mambo anatibu kwa uchawi, huyo ni kuhani.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 24-25
- Imechapishwa: 18/01/2025
Swali: Kuna mtu yuko na jini linamuhudumia na anawatibu watu. Wanawake wanapomwendea anawaelekeza katika habasoda, asali na dawa nyingine za kiarabu na kiislamu. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haina neno ikiwa anawaeleza watu kuwa hajui ghaibu, hanufaishi na wala hadhuru badala ya Allaah. Katika hali hiyo ni mkweli katika anayoyasema. Lakini ikiwa anaogopa pindi anapojiliwa na wanaolingania kwa Allaah na anajidai kuwa anatibu kwa asali, habasoda n.k. ilihali ukweli wa mambo anatibu kwa uchawi, huyo ni kuhani.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 24-25
Imechapishwa: 18/01/2025
https://firqatunnajia.com/hali-ya-wengi-wanaowatibu-watu-hii-leo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)