Swali: Je, mtu anashuhudiwa kuwa ni mwema kwa kuitembelea kwake misikiti?
Jibu: Kama ilivyopokelewa katika Hadiyth hii ijapo ila unyonge. Lakini dalili zenye kuenea zinashuhudia hivo. Hapana shaka kuwa mwanamme ambaye anachunga swalah ni miongoni mwa watu bora na anashuhudiwa kheri. Kwa sababu hakuna anayehifadhi swalah isipokuwa muumini.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22517/هل-اعتياد-المساجد-يشهد-لصاحبه-بالصلاح
- Imechapishwa: 17/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)