Swali: Je, maandamano dhidi ya watawala makafiri…
Jibu: Maandamano hayajuzu kwa kuwa yanapelekea kumwaga damu na kuharibu miji na mali. Haki haifikiwi kwa kupitia maandamano. Inafikiwa kwa kupitia njia za Kishari´ah ikiwa kama kuna uwezekano. Ikiwa waislamu wanaweza hilo itakuwa kwa njia hiyo, vinginevyo waislamu watatakiwa kusubiri mpaka pale ambapo Allaah atawasahilishia faraja.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.ws/sites/default/files/muhadharah_01_03_1433.mp3
- Imechapishwa: 05/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket