Swali: Je, mtu anyanyue mikono juu wakati wa kuomba du´aa:
اللهم رب هذه الدعوة التامة والصلاة القائمة، آت محمداً الوسيلة والفضيلة، وابعثه مقاماً محموداً الذي وعدته
“Ee Allaah, Mola wa mwito huu uliotimia, swalah iliosimama, mpe bwana wetu Muhammad, al-Wasiylah na fadhilah na mfikishe daraja yenye kusifiwa ambayo umemuuahidi” basi utamthubutukia uombezi wangu siku ya Qiyaamah.”?
Jibu: Haikupokelewa. Sijui kama kumepokelewa kitu juu ya hilo.
Swali: Je, mtu anaweza kusema bora ni kuacha kufanya hivo?
Jibu: Ndio kinachodhihiri. Hakukupokelewa kuhusu du´aa hii kunyanyua mikono.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23695/حكم-رفع-اليدين-في-اللهم-رب-هذه-الدعوة
- Imechapishwa: 05/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket