Swali: Je, inajuzu kuhudhuhuria Maulidini na kusoma Qaswiydah kwa hoja ya kwamba ni Qaswiydah zisizokuwa na shirki?
Jibu: Hapana. Sherehe za Maulidi ni Bid´ah. Qaswiydah ni balaa zaidi. Msihudhurie isipokuwa ikiwa kama mtawafunza ya kwamba kitendo hichi hakijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2020
Swali: Je, inajuzu kuhudhuhuria Maulidini na kusoma Qaswiydah kwa hoja ya kwamba ni Qaswiydah zisizokuwa na shirki?
Jibu: Hapana. Sherehe za Maulidi ni Bid´ah. Qaswiydah ni balaa zaidi. Msihudhurie isipokuwa ikiwa kama mtawafunza ya kwamba kitendo hichi hakijuzu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf%2030-7-1434_01.mp3
Imechapishwa: 15/06/2020
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kuhudhuria-maulidini/