Swali: Kuhifadhi picha za viumbe wenye roho na picha zilizopigwa kwa njia ya simu kwenye simu hiyo hiyo kunaingia katika uharamu?
Jibu: Ndio, kunaingia katika uharamu. Kila kinachohifadhi picha na kukibakiza basi ni haramu; sawa ikiwa ni kwa njia ya simu, karatasi au ukuta. Vyote hivyo ni picha za haramu. Amelaaniwa mwenye kuyafanya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2138
- Imechapishwa: 12/07/2020
Swali: Kuhifadhi picha za viumbe wenye roho na picha zilizopigwa kwa njia ya simu kwenye simu hiyo hiyo kunaingia katika uharamu?
Jibu: Ndio, kunaingia katika uharamu. Kila kinachohifadhi picha na kukibakiza basi ni haramu; sawa ikiwa ni kwa njia ya simu, karatasi au ukuta. Vyote hivyo ni picha za haramu. Amelaaniwa mwenye kuyafanya.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2138
Imechapishwa: 12/07/2020
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kuhifadhi-picha-kwenye-kifaa-chochote/