Swali: Kundi la vijana walikuwa wanafuata madhehebu ya baadhi ya mapote potofu…
Jibu: Haijuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baada ya kutaja kufarikiana kwa ummah na akataja kundi lililookoka akasema:
“Ummah huu utafarikiana makundi sabini na tatu. Yote yataingia Motoni isipokuwa moja tu.” Wakasema: “Ni lipi hilo, ee Mtume wa Allaah?” Akasema: “Ni wale wataofuata yale ninayofuata mimi hii leo na Maswahabah wangu.”
Mtu ajifunze Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na azifuate.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Waqafaat ma´aa Hadiyth tatadaa´ alaykum-ul-Umamu https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/wgfaaat.mp3
- Imechapishwa: 23/09/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)