Swali: Je, inafaa kwa maamuma kumtangulia imamu katika Takbiyrat-ul-Ihraam?
Jibu: Haijuzu kwa mujibu wa wanazuoni wote. Ni lazima ailete baada yake:
“Akileta Takbiyr nanyi leteni Takbiyr.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23715/حكم-استباق-الامام-بتكبيرة-الاحرام
- Imechapishwa: 08/04/2024
Swali: Je, inafaa kwa maamuma kumtangulia imamu katika Takbiyrat-ul-Ihraam?
Jibu: Haijuzu kwa mujibu wa wanazuoni wote. Ni lazima ailete baada yake:
“Akileta Takbiyr nanyi leteni Takbiyr.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23715/حكم-استباق-الامام-بتكبيرة-الاحرام
Imechapishwa: 08/04/2024
https://firqatunnajia.com/haifai-kwa-mtazamo-wa-wanazuoni-wote/