Swali: Katika nchi yetu, wadudu wa kuruka huonekana baada ya mvua. Wanakuwa wakubwa kuliko chungu na wadogo kuliko panzi. Tunawapika na kuwala wadudu hao. Je, wanafaa?
Jibu: Haifai kula wadudu, kwa sababu ni wenye kuchukiza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 10/11/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)