Swali: Nafanya kazi kwenye mgahawa Ufaransa. Je, inajuzu kwangu kuuza chakula mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Hapana, huku ni kushirikiana katika dhambi na uadui. Usiuze chakula nchana wa Ramadhaan ilihali wewe ni muislamu. Kufanya hivi ni kushirikiana katika dhambi na uadui. Usifanye kazi katika mgahawa huu mchana wa Ramadhaan. Unaweza kufanya kazi usiku au nje [ya mwezi wa] Ramadhaan.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-07.mp3
- Imechapishwa: 17/08/2020
Swali: Nafanya kazi kwenye mgahawa Ufaransa. Je, inajuzu kwangu kuuza chakula mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Hapana, huku ni kushirikiana katika dhambi na uadui. Usiuze chakula nchana wa Ramadhaan ilihali wewe ni muislamu. Kufanya hivi ni kushirikiana katika dhambi na uadui. Usifanye kazi katika mgahawa huu mchana wa Ramadhaan. Unaweza kufanya kazi usiku au nje [ya mwezi wa] Ramadhaan.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-08-07.mp3
Imechapishwa: 17/08/2020
https://firqatunnajia.com/haifai-kufanya-kazi-kwenye-mgahawa-mchana-wa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)