Swali: Kama kuna mtu ana elimu ndogo na katika mji wake kuna maovu na Bid´ah zilizoenea. Mtu huyu asubiri mpaka amalize masomo yake na awe na uelewa wa Dini zaidi halafu ndio afunze au akimbilie kufunza yale anayoyajua?
Jibu: Afunze kwa kiasi cha anavyojua. Afunze kwa kiasi cha anavyojua. Mwenye kujifunza kitu awafunze wengine hata kama itakuwa ni kidogo. Anachotakiwa ni kuwafunza nacho wengine hata kama kitakuwa kidogo. Asisubiri mpaka amalize masomo yake au mpaka awe mwanachuoni. Aende daraja kwa daraja. Maovu yanazidiana. Aanze [kukataza] kitu ambacho ni muhimu zaidi kuliko kingine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14897
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Kama kuna mtu ana elimu ndogo na katika mji wake kuna maovu na Bid´ah zilizoenea. Mtu huyu asubiri mpaka amalize masomo yake na awe na uelewa wa Dini zaidi halafu ndio afunze au akimbilie kufunza yale anayoyajua?
Jibu: Afunze kwa kiasi cha anavyojua. Afunze kwa kiasi cha anavyojua. Mwenye kujifunza kitu awafunze wengine hata kama itakuwa ni kidogo. Anachotakiwa ni kuwafunza nacho wengine hata kama kitakuwa kidogo. Asisubiri mpaka amalize masomo yake au mpaka awe mwanachuoni. Aende daraja kwa daraja. Maovu yanazidiana. Aanze [kukataza] kitu ambacho ni muhimu zaidi kuliko kingine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14897
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/funza-kwa-kiasi-cha-uwezo-wako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)