Swali: Kuning´iniza funguo zinazookotwa maeneo ya nyuma ya msikiti kunaingia katika matangazo yaliyokatazwa?
Jibu: Sio kutangaza. Ima akaziacha funguo hizo mahali zilipodondoka msikitini ili mwenye nazo aje kuzichukua au azipandishe juu ya kitu na aziweke mahali kunapoonekana. Matangazo yanakuwa kwa kuzungumza.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 27/02/2022
Swali: Kuning´iniza funguo zinazookotwa maeneo ya nyuma ya msikiti kunaingia katika matangazo yaliyokatazwa?
Jibu: Sio kutangaza. Ima akaziacha funguo hizo mahali zilipodondoka msikitini ili mwenye nazo aje kuzichukua au azipandishe juu ya kitu na aziweke mahali kunapoonekana. Matangazo yanakuwa kwa kuzungumza.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 27/02/2022
https://firqatunnajia.com/funguo-zilizopotea-zilizoninginizwa-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)