Swali: Hukumu za vilivookotwa zinatumika katika nchi za makafiri?

Jibu: Ndio, kila mahali. Mali za makafiri katika nchi ambazo zina mikataba na nchi za waislamu ni zenye kuheshimiwa. Ni zenye kuheshimiwa na ni lazima zihifadhiwe kutokana na makubaliano.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
  • Imechapishwa: 27/02/2022