Swali: Hukumu za vilivookotwa zinatumika katika nchi za makafiri?
Jibu: Ndio, kila mahali. Mali za makafiri katika nchi ambazo zina mikataba na nchi za waislamu ni zenye kuheshimiwa. Ni zenye kuheshimiwa na ni lazima zihifadhiwe kutokana na makubaliano.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 27/02/2022
Swali: Hukumu za vilivookotwa zinatumika katika nchi za makafiri?
Jibu: Ndio, kila mahali. Mali za makafiri katika nchi ambazo zina mikataba na nchi za waislamu ni zenye kuheshimiwa. Ni zenye kuheshimiwa na ni lazima zihifadhiwe kutokana na makubaliano.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 27/02/2022
https://firqatunnajia.com/viokotwa-katika-nchi-za-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)