Swali: Inatokea wakati mwingine baadhi ya wanafunzi wanaacha vitabu vyao msikitini kwa kipindi kirefu na hawatambuliki wenye navyo. Imamu wa msikiti avifanye nini? Je, aviuze na atumie thamani yake kwa ajili ya msikiti?
Jibu: Hapana, asiviuze. Ikiwa anamjua mmiliki wake, basi amwite na kumwambia akichukue. Kama hamjui mmiliki wake, basi kitabu kinakuwa na hukumu ya waqf; kibaki msikitini na kitatumiwa na yule anayetaka kukisoma. Njia nyingine ni kwamba kinaweza kupelekwa katika maktabah ya ummah ambapo kila mmoja anaweza kufaidika nacho.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 27/02/2022
Swali: Inatokea wakati mwingine baadhi ya wanafunzi wanaacha vitabu vyao msikitini kwa kipindi kirefu na hawatambuliki wenye navyo. Imamu wa msikiti avifanye nini? Je, aviuze na atumie thamani yake kwa ajili ya msikiti?
Jibu: Hapana, asiviuze. Ikiwa anamjua mmiliki wake, basi amwite na kumwambia akichukue. Kama hamjui mmiliki wake, basi kitabu kinakuwa na hukumu ya waqf; kibaki msikitini na kitatumiwa na yule anayetaka kukisoma. Njia nyingine ni kwamba kinaweza kupelekwa katika maktabah ya ummah ambapo kila mmoja anaweza kufaidika nacho.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 27/02/2022
https://firqatunnajia.com/vitabu-vinavyoachwa-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)