Swali: Je, mtu anaweza kusema kuwa fisi ni mnyamamkali aliyebaguliwa katika wanaofaa kuliwa?
Jibu: Ndio, fisi amevuliwa. Jaabir (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa kuhusu fisi. Akasema: ”Ni kitoweo.”[1]
Yule asiyetaka kula nyama ya fisi hakulazimishwa. Uamuzi uko kwake.
[1] Abu Daawuud (3801). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (3801).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 12/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)