Fimbo kwenye kaburi kwa ajili ya kuweza kupambanua

Swali: Baadhi ya watu husimika fimbo kwenye makaburi ya wazazi wao ili waweze kuyapambanua na makaburi mengine. Je, inafaa?

Jibu: Hakuna neno. Inafaa akaweka bakora au jiwe. Hapana vibaya. Hata hivyo asiandike juu yake au akalipaka rangi. Haijuzu kufanya hivo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
  • Imechapishwa: 03/04/2023