Swali: Ni ipi hukumu ya anayekata mti?
Jibu: Anapaswa kumwomba Allaah msamaha na kutubu Kwake. Ikiwa atatoa swadaqah, basi basi Allaah atamlipa kheri na ni jambo zuri. Inasimuliwa kutoka kwa Ibn ´Abbaas na wengine kwamba kwa mti mkubwa kuna fidia ya kuchinja ngamia, kwa mti mdogo ni kondoo na kwa majani ni thamani yake. Ikiwa mtu atafanya hivyo kwa ajili ya kuchukua tahadhari, basi ni jambo zuri.
Swali: Vipi kuhusu kuua njiwa au ndege wadogo kama shomoro ni halali?
Jibu: Haijuzu, kwani wote wanachukuliwa kuwa wanyama wa kuwinda.
Swali: Fidia yao ni nini?
Jibu: Kwa njiwa, fidia yake ni kondoo ikiwa aliuawa kwa makusudi, na kwa shomoro ni thamani yake.
Swali: Je, kuna Hadiyth sahihi kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) inayozungumzia fidia hii?
Jibu: Sifahamu Hadiyth yoyote kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24974/حكم-قطع-الشجر-وقتل-الحمام-في-الحرم
- Imechapishwa: 17/01/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya anayekata mti?
Jibu: Anapaswa kumwomba Allaah msamaha na kutubu Kwake. Ikiwa atatoa swadaqah, basi basi Allaah atamlipa kheri na ni jambo zuri. Inasimuliwa kutoka kwa Ibn ´Abbaas na wengine kwamba kwa mti mkubwa kuna fidia ya kuchinja ngamia, kwa mti mdogo ni kondoo na kwa majani ni thamani yake. Ikiwa mtu atafanya hivyo kwa ajili ya kuchukua tahadhari, basi ni jambo zuri.
Swali: Vipi kuhusu kuua njiwa au ndege wadogo kama shomoro ni halali?
Jibu: Haijuzu, kwani wote wanachukuliwa kuwa wanyama wa kuwinda.
Swali: Fidia yao ni nini?
Jibu: Kwa njiwa, fidia yake ni kondoo ikiwa aliuawa kwa makusudi, na kwa shomoro ni thamani yake.
Swali: Je, kuna Hadiyth sahihi kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) inayozungumzia fidia hii?
Jibu: Sifahamu Hadiyth yoyote kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24974/حكم-قطع-الشجر-وقتل-الحمام-في-الحرم
Imechapishwa: 17/01/2025
https://firqatunnajia.com/fidia-ya-anayemuua-njiwa-na-ndege-haram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)