Swali: Ni fatwa ipi inachukuliwa ikiwa waulizaji wawili wametofautiana katika fatwa nyingi?
Jibu: Ile iliyoafikiana na haki na ambayo imeafikiana, dalili za Kishari´ah na Qur-aan na Sunnah:
فَإِن تَنَازَعْتُمْ فِي شَيْءٍ فَرُدُّوهُ إِلَى اللَّـهِ وَالرَّسُولِ
”Mkizozana juu ya jambo, basi lirudisheni kwa Allaah na Mtume.”[1]
وَمَا اخْتَلَفْتُمْ فِيهِ مِن شَيْءٍ فَحُكْمُهُ إِلَى اللَّـهِ
”Jambo lolote lile mlilokhitilafiana kwalo, basi hukumu yake ni kwa Allaah.”[2]
Ikiwa ana shaka, basi anauliza anayemdhania kuwa yuko karibu, mjuzi na mwenye utambuzi zaidi. Ajitahidi na achunguze.
[1] 04:59
[2] 42:10
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25139/بماذا-يعمل-عند-اختلاف-فتوى-المفتين
- Imechapishwa: 06/02/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)