Swali: Je, mtu amwingilie mke wake asipopata maji?
Ibn Baaz: Ina maana yuko nchi kavu?
Mwanafunzi: Maji hayakuwepo. Je, inafaa kwake kumjamii mke wake?
Ibn Baaz: Ina maana yuko nchi kavu na hana maji?
Mwanafunzi: Nchi kavu au mahali kokote.
Swali: Amjamii mke wake na afanye Tayammum ikiwa hana maji. Ni kama jangwani nchi kavu na asiwe na maji.
Swali: Kwa hiyo Tayammum inatosheleza kutokana na kuoga?
Jibu: Tayammum inatosha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23574/هل-يجامع-اهله-من-لا-يجد-الماء-ويكفيه-التيمم
- Imechapishwa: 15/02/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket