Swali: Vipi ikiwa mtu anatukaniwa wazazi wake kwa sababu ya kuamrisha mema na kukataza maovu?
Jibu: Haidhuru. Aamrishe mema na kukataza maovu hata kama atatukanywa. Dhambi zinawapa wao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24139/حكم-من-يودي-امره-بالمعروف-لسب-والديه
- Imechapishwa: 06/09/2024
Swali: Vipi ikiwa mtu anatukaniwa wazazi wake kwa sababu ya kuamrisha mema na kukataza maovu?
Jibu: Haidhuru. Aamrishe mema na kukataza maovu hata kama atatukanywa. Dhambi zinawapa wao.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24139/حكم-من-يودي-امره-بالمعروف-لسب-والديه
Imechapishwa: 06/09/2024
https://firqatunnajia.com/endelea-na-ulingano-hata-kama-watatukanywa-wazazi-wako/