Endelea na ulingano hata kama watatukanywa wazazi wako

Swali: Vipi ikiwa mtu anatukaniwa wazazi wake kwa sababu ya kuamrisha mema na kukataza maovu?

Jibu: Haidhuru. Aamrishe mema na kukataza maovu hata kama atatukanywa. Dhambi zinawapa wao.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24139/حكم-من-يودي-امره-بالمعروف-لسب-والديه
  • Imechapishwa: 06/09/2024