Swali: Du´aa:
اللهم اهدني فيمن هديت
“Ee Allaah, niongoze miongoni mwa uliowaongoza.”
Je, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya Qnuut kwa du´aa hii?
Jibu: Hapana, hakufanya. Mtume alikuwa akifanya Qunuut kwa ajili ya kuwaombea shari iwashukie watu fulani au kuwatakia kheri watu fulani. Ama du´aa hii Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimfundisha al-Hasan ili aitumie katika Qunuut. Kisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa akiswali akiwa imamu, hakuwa akisema kwa njia ya umoja, bali alikuwa akitumia njia ya wingi anapowaombea waislamu, kwa mfano anasema:
اهدني، واغفر لي
”Niongoze, nisamehe.”
Hapo ni pale anapokuwa peke yake. Lakini anapokuwa ndani ya swalah yake anajiombea mwenyewe baina yake na Mola wake. Kama alivyokuwa anasema kwenye sujuud:
اللَّهُمَّ اغْفِرْ لِي ذَنْبِي كُلَّهُ: دِقَّهُ وَجِلَّهُ، وَأَوَّلَهُ وَآخِرَهُ، وَعَلاَنِيَّتَهُ وَسِرَّهُ
“Ee Allaah! Nisamehe dhambi zangu zote; ndogo na kubwa, za mwanzo na za mwisho, za dhahiri na za kujificha.”[1]
Lakini du´aa za jumla katika Khutbah na katika Qunuut huwa ni za pamoja kama:
اللهم اغفر لنا، اللهم ارحمنا، اللهم أنجنا، اللهم انصرنا
“Ee Allaah, tusamehe! Ee Allaah, turehemu! Ee Allaah, tuokoe! Ee Allaah, tunusuru!”
na mfano wa hayo.
[1] Muslim (482).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31472/هل-ثبت-دعاء-قنوت-الوتر-في-السنة
- Imechapishwa: 27/10/2025
Swali: Du´aa:
اللهم اهدني فيمن هديت
“Ee Allaah, niongoze miongoni mwa uliowaongoza.”
Je, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya Qnuut kwa du´aa hii?
Jibu: Hapana, hakufanya. Mtume alikuwa akifanya Qunuut kwa ajili ya kuwaombea shari iwashukie watu fulani au kuwatakia kheri watu fulani. Ama du´aa hii Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimfundisha al-Hasan ili aitumie katika Qunuut. Kisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa akiswali akiwa imamu, hakuwa akisema kwa njia ya umoja, bali alikuwa akitumia njia ya wingi anapowaombea waislamu, kwa mfano anasema:
اهدني، واغفر لي
”Niongoze, nisamehe.”
Hapo ni pale anapokuwa peke yake. Lakini anapokuwa ndani ya swalah yake anajiombea mwenyewe baina yake na Mola wake. Kama alivyokuwa anasema kwenye sujuud:
اللَّهُمَّ اغْفِرْ لِي ذَنْبِي كُلَّهُ: دِقَّهُ وَجِلَّهُ، وَأَوَّلَهُ وَآخِرَهُ، وَعَلاَنِيَّتَهُ وَسِرَّهُ
“Ee Allaah! Nisamehe dhambi zangu zote; ndogo na kubwa, za mwanzo na za mwisho, za dhahiri na za kujificha.”[1]
Lakini du´aa za jumla katika Khutbah na katika Qunuut huwa ni za pamoja kama:
اللهم اغفر لنا، اللهم ارحمنا، اللهم أنجنا، اللهم انصرنا
“Ee Allaah, tusamehe! Ee Allaah, turehemu! Ee Allaah, tuokoe! Ee Allaah, tunusuru!”
na mfano wa hayo.
[1] Muslim (482).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31472/هل-ثبت-دعاء-قنوت-الوتر-في-السنة
Imechapishwa: 27/10/2025
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-qunuut-haiombwi-wakati-wa-majanga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
